• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAKULIMA,WAFUGAJI NA WAVUVI WAELEZWA MALENGO NA FAIDA ZA HUDUMA YA M-KILIMO

Posted on: August 17th, 2021

Wito umetolewa kujiunga na huduma ya M-Kilimo (mobile kilimo),jukwaa la mawasiliano linalowawezesha wakulima ,wafugaji,wavuvi,na wafanyabiashara mbalimbali kutangaza bidhaa,kutafuta masoko,na kupata ushauri mbalimbali kwa kutumia simu ya mkononi.

Hayo yamebainishwa leo Agosti 17 na Afisa Kilimo wa Halmashauri ya wilaya ya Geita Bw.Malick Lugemalila Athuman, ambapo amesema kuwa Teknolojia hii (mobile kilimo) imelenga kuwasaidia wakulima ,wafugaji,na wavuvi waweze kuyafikia masoko hasa hasa wanunuzi wa bidhaa na mazao ya kilimo pasipo kupitia adha ya kuyasafirisha mazao hayo kwenda sokoni.

Bw.Malick amesema kuwa jukwaa hili lina sehemu kuu mbili, ambayo ni huduma ya masoko, sehemu ambayo inawaunganisha wauzaji na wanunuzi kuuza na kununua mazao,na sehemu ya pili ni huduma ya ushauri, ambayo ni sehemu ya kupata ushauri wa kitaalamu kutoka kwa maafisa ugani.

Amesema kuwa takwimu zinaonesha watu karibu milioni arobaini na tatu wanamiliki simu za mkononi ,hivyo ni fursa nzuri kwa taasisi za serikali na wadau kuitumia, katika kutatua changamoto mbalimbali za kijamii, ikiwemo kuyafikia masoko ya mazao ya kilimo,mifugo na uvuvi.

Akielekeza namna ya kujiunga na huduma hii amesema kuwa, hatua ya kwanza katika simu ya mkononi Unaenda uwanja wa kuandika namba ya simu unabonyeza, *152*00# kisha unabonyeza namba 7 ambayo ni kilimo,ufugaji kisha unabonyeza namba 2 ambayo ni M-Kilimo.

Aidha baada ya hapo unaenda kwenye Menyu ya kujisajili, ambapo mtumiaji ataandika Jina lake kamili, kijiji,kata,wilaya na mkoa anapopatikana,ambapo baada ya hapo mtumiaji atakuwa amejisajili na atapata menyu ya kuuza mazao na kununua, bei za mazao na ushauri wa kitaalamu wa kilimo,mifugo na uvuvi kutoka kwa Afisa ugani wa eneo lake, kwa kutumia menyu ya kuomba ushauri.

Aidha amewakumbusha pia wakulima kuwa karibu na wataalamu wa kilimo, ili waweze kupata ushauri wa mbegu bora na pembejeo mbalimbali za kilimo hasa katika kipindi hiki cha kuelekea msimu mpya wa kilimo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa