• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

UKAGUZI WA NJIA YA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025, GEITA DC YAKAMILISHA MAANDALIZI

Posted on: August 26th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashim Komba, amefanya ukaguzi wa maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kuwasili Septemba 1, 2025. Katika ziara hiyo, Mkuu wa Wilaya aliambatana na Kamati ya Usalama ya Wilaya, Katibu Tawala wa Wilaya ya Geita Bi. Lucy Beda, pamoja na timu ya menejimenti kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba  akiwa katika ukaguzi wa njia ya mwenge wa Uhuru 2025 unaotarajiwa kupokelewa Septemba 01, mwaka huu.

Ukaguzi huo ulianzia katika viwanja vya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru vilivyoko Shule ya Sekondari Lwezela. Aidha, ulijumuisha miradi mbalimbali ikiwemo Klabu ya Kupambana na Rushwa na Kupinga Madawa ya Kulevya katika Shule ya Sekondari Bugando, ujenzi wa barabara ya lami nyepesi yenye urefu wa kilomita 1.1 katika eneo la Nzera Centre, ujenzi wa wodi tatu katika Hospitali ya Wilaya ya Nzera, pamoja na Ofisi ya Kata ya Bugulula.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba katika picha na kamati ya usalama ya Wilaya, Timu ya menejimenti pamoja na wananchi katika zoezi la ukaguzi wa njia ya Mwenge wa Uhuru owaka 2025. 

Miradi mingine iliyokaguliwa ni Shule ya Amali Chibingo, mradi wa maji Nyala, pamoja na kikundi cha vijana cha Katoro Terminal kinachojihusisha na shughuli za ukodishaji wa bajaji.

Baadhi ya mirada ya maendeleo inayotarajiwa kupitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025, katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Ziara hiyo imelenga kuhakikisha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru yamekamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyohitajika. Mwenge wa uhuru Mwaka huu una kauli mbiu isemayo, jitokeze kupita kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa Amani na utulivu.


Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA BOOST YENYE THAMANI YA BILIONI 3.2

    October 09, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NYANG'WALE ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO YA MADINI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA.

    September 24, 2025
  • WAUGUZI WA AFYA NA MAAFISA LISHE GEITA DC WAASWA KUEPUKA MIGOGORO MAENEO YA KAZI.

    September 22, 2025
  • WANANCHI KATORO WAJITOKEZA KUADJIMISHA SIKU YA USAFISHAJI DUNIANI.

    September 20, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa