• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

TUJITOKEZE KUPIGA KURA SERIKALI IMEWEKA MAZINGIRA MAZURI ZOEZI LA UCHAGUZI-MKURUGENZI GEITA DC

Posted on: November 27th, 2024

Msimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Halmashauri ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Karia Magaro  mapema leo Novemba 27, 2024 amepiga kura katika Kata ya Nzera yalipo makao makuu ya Halmashauri.

Akiwa katika kata ya Nzera, Magaro ameendelea kutoa hamasa kwa wananchi wengine kujitokeza siku ya leo ili kutimiza haki yao ya Kidemokrasia katika uchaguzi huu wa serikali za Mitaa.

Wananchi wakiwa katika foleni kuelekea kwenye chumba cha kupiga kura katika kijiji cha Nzera Kata ya Nzera. Vituo vya upigaji kura vimefunguliwa mapema saa mbili na mamia ya wananchi wameendelea kujitokeza kutimiza haki yao ya Kidemokrasia

“Nimeshiriki katika kuchagua viongozi wa serikali za mitaa katika kijiji ninachoishi Nzera, nipende kutoa hamasa kwa wananchi kutumia haki yao ya Kidemokrasia kuchagua viongozi katika maeneo yao waliyojiandikisha.” Amesema Magaro.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Karia Magaro akipiga kura mapema leo asubuhi katika Kata ya Nzera alipojiandikisha.

Pamoja na kupiga Kura, Ndg Magaro ametembelea vituo mbalimbali ndani ya Halmashauri vya kupiga kura ili kujionea zoezi hilo linavyoenda.

Vilevile akiwa katika vituo hivyo Ndg Magaro ameishukuru Serikali inayo ongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuweka maandalizi mazuri katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili wananchi waweze kushiriki uchaguzi katika mazingira mazuri.

Wananchi wakiwa katika kituo cha kupiga kura kuangalia majina yao kabla ya kupiga kura mapema leo Novemba 27,2024

Upiga wa kura umeanza mapema leo saa mbili asubuhi ambapo vituo vilikuwa wazi na mamia ya wananchi wameendelea kujitokeza katika upigaji kura ambapo zoezi hilo linatarajiwa kukamilika majira ya saa kumi jioni.

Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina majimbo mawili ya Uchaguzi yenye Kata 37, Vijiji 145 na Vitongoji 593 ambapo jumla ya  vyama 7 vya Siasa ambavyo ni Chama cha Mapinduzi (CCM), Chama Cha Demokrasia na Maendelo(CHADEMA), ACT WAZALENDO, CCK, TLP na ADC vinashiriki Uchaguzi huo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa