• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA MPIRA WA MIGUU GEITA DC YALAMBA DONGE NONO LA SHILINGI MILIONI 2.5

Posted on: September 9th, 2024

Geita

TIMU ya mpira wa miguu Halmashauri ya wilaya ya Geita Septemba 7, 2024 imepokea  zawadi ya shilingi milioni 2 na laki 5 baada ya kuibuka kuwa mshindi katika mashindano ya Michezo ya Watumishi wa Mamlaka za Serikali za mitaa Tanzania ( Shimisemita) mwaka 2024 yaliyoanza Agosti 24 na kumalizika Septemba 5,2024 katika Jiji la Mwanza.

Kikosi cha mpira wa Miguu halmashauri ya wilaya ya Geita kilichobeba ushindi baada ya kuibuka washindi wa mchezo wa mpira wa miguu katika mashindano ya Shimisemita yaliyofanyika  uwanja wa nyamagana Mwanza na kufanikiwa kuicharaza timu ya Ifakara TC magoli mawili kwa moja.

Mapokezi ya timu hiyo yamefanyika katika ukumbi wa  hoteli ya Kilimanjaro iliyopo Geita na kuhudhuriwa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Geita Mh Hashim Abdallah Komba, watumishi na wakuu wa idara na vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Geita pamoja na aliyekuwa mmoja wa wadhamini wa timu hiyo benk ya CRDB-Geita.

Kikosi cha mpira wa Miguu halmashauri ya wilaya ya Geita kilichobeba ushindi baada ya kuibuka washindi wa mchezo wa mpira wa miguu katika mashindano ya Shimisemita yaliyofanyika  uwanja wa nyamagana Mwanza na kufanikiwa kuicharaza timu ya Ifakara TC magoli mawili kwa moja.

Akizungumza katika Halfa hiyo wakati wa kukabidhi kitita hicho, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Karia Rajab Magaro amewataka washiriki hao kuendelea kuhamasishana iliwatumishi wenye vipaji waendelee kujitokeza na kuendelea kufanya maandalizi mazuri ili kupata vikombe vingi vya ushindi mwakani mashindano hayo yatakapofanyika katika jiji la Tanga.

Wakuu wa Idara na Vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakiwa katika picha ya pamoja katika halfa iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Kilimanjaro ya kuwapongeza wachezaji wa timu ya Halmashauri baada ya kuchukua kombe la ubingwa mashindano ya Shimisemita jijini Mwanza.

Timu ya menejimenti ya Halmashauri ya wilaya ya Geita (CMT) imetoa kitita cha shilingi Milioni mbili na laki tano kama sehemu ya pongezi kwa wachezaji hao ili kuendelea kuwatia moyo wa kushiriki mashindano mbalimbali na kuendelea kuleta ushindi katika halmashauri ya Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba akimvalisha medali ya ushindi Mkuregenzi Mtendaji ndg Karia Rajab Magaro katika halfa iliyofanyika hoteli ya Kilimanjaro Geita

Kwa upande wake mgeni rasmi katika hafla hiyo Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Abdallah Komba amempongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa kupeleka timu kushiriki mashindano ya Shimisemita na kurudi na ushindi.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita ndg Karia Magaro amekabidhi kiasi cha shilingi 2,500,000 kwa kikosi cha ushindi mashindano Shimisemita katika halfa iliyo andaliwa na menejimenti (CMT) ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita

Mhe Komba amewataka watumishi hao walioshiriki mashindano ya Shimisemita kuendelea kumuunga mkono Mkurugenzi kuhakikisha kazi zake zote za Halmashauri zinaenda vizuri kwa kuendelea kufanya kazi kwa upendo na watumishi wa umma ili  kuendelea kuwa na matokeo mazuri.

Kikosi hicho kilitia kambi jijini Mwanza Agosti 24 hadi mashindano hayo yalipofungwa Septemba 5, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Said Mtanda kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Maafisa Michezo na Maafisa Utamaduni wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu katika halfa ya kuwapongeza wachezaji wa timu ya halmashauri ya wilaya ya Geita iliyofanyika katika hoteli ya Kilimanjaro Geita



Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa