• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

SAMIA AMWAGA ZAIDI YA BILIONI 1.16 MIRADI YA SHULE ZA SEKONDARI ZA AMALI GEITA DC

Posted on: February 28th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Abdallah Komba leo Februari 28,2025  ametembelea na kukagua ujenzi  wa shule mbili za amali katika Jimbo la Geita na Busanda Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Akizungumza katika ukaguzi wa Miradi hiyo Mikubwa  katika sekta ya Elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita,  Mhe Komba amesema shule hizo zinaenda kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya elimu ndani ya Wilaya ya Geita. 

"Tunakila sababu ya kumshukuru Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuleta fedha nyingi katika miradi ya shule hizi za amali Sekondari ya Nzera  kiasi cha Shilingi Milioni 584.2 na Shule ya Sekondari ya Amali ya Chibingo kata ya Nyamigota kiasi cha Shilingi Milioni 584.2" Amesema Mh Komba.

Aidha Mhe Komba amempongeza Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Karia Rajab Magaro kwa usimamizi mzuri  wa miradi  ambayo Serikali ya awamu ya sita inaleta fedha nyingi.

" Nimpongeze Mkurugenzi Mtendaji kwa Usimamizi mzuri wa miradi kwa namna ambayo anasimamia miradi hii pamoja na Halmashauri kuwa na jiografia kubwa" Ameongeza Mhe Komba. 

Pamoja na hayo Mhe Komba amesema lengo la ziara hiyo ni kukagua ujenzi wa miradi hiyo ili kuendelea kuwa na miradi yenye ufanisi na kuwataka wahandisi kuendelea kuongeza ueledi katika usimamizi wa miradi kuanzia hatua za awali ili miradi hiyo iweze kuwa imara na kuilinda.

Vilevile Mh Komba ameitaka Halmashauri kuendelea kuzingatia taratibu za manunuzi kupitia mfumo wa NeSt katika ukamilishaji wa Miradi pamoja na kuwasimamia mafundi kuongeza kasi miradi hiyo ikamilike kwa wakati.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Ndg Karia Magaro amezitaka kamati za Ujenzi katika Miradi hiyo kuendelea Kushirikiana katika shughuli za ujenzi wa miradi hiyo ili wanafunzi  watakapo anza kuyatumia majengo hayo waone mandhari nzuri.

Shule hizo kila moja ina jumla ya madarasa 8, ofisi 2, Maktaba 1, Jengo la TEHAMA 1, Jengo la Utawala 1, Maabara ya Bailojia na Kemia pamoja na nyumba ya mtumishi.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa