• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Nyumba zote zipate Umeme asema Kalemani

Posted on: July 18th, 2018

Waziri wa Nishati Dokta Medard Kalemani(MB) amewataka wakandarasi wanaofanya kazi katika mradi wa umeme vijijini(REA) kutokuruka kaya yoyote ile kwa visingizio visivyo na tija ili wananchi wote wenye sifa wapate umeme kwa gharama nafuu.

akiongea na wakazi wa kijiji cha Nyamwilolelwa kata ya Nyamwilolelwa Halmashauri ya wilaya ya Geita wakati wa zoezi la uwashaji wa Umeme katika kijiji hicho amesema kwa sasa serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dokta John P. Magufuli imedhamiria kwa dhati kupeleka huduma ya umeme katika vijiji vyote nchini ili kusukuma kasi ya maendeleo  hasa katika kipindi hiki cha kuipeleka Tanzania kuwa ya viwanda.

Mheshimiwa Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani(Mb) akiwasha umeme katika kijiji cha Nyamwilolelwa kuashiria kuanza kwa huduma hiyo na zoezi hilo likishuhudiwa na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (aliyevaa miwani)

Aidha Dokta Kalemani amewahakikishia wakazi wa jimbo la Busanda kuwa mradi wa maji Chankolongo kutoka ziwa Viktoria muda si mrefu utaanza kufanya kazi maana sababu ilikua ni kukosa umeme wa kusukuma pampu za maji na tayari shirika la ugavi wa umeme nchini TANESCO limejipanga kupeleka mafundi kuanzia wiki ijayo.

Sambamba na hilo Dokta Kalemani amewataka wananchi kutumia vifaa vya UMETA (Umeme tayari) katika taasisi zilizopo katika vijiji vyao hasa ofisi za vijiji na Zahanati kwani ni kifaa cha  bei rahisi na kinafaa kwa vyumba vichache bila kufunga mfumo wowote wa waya.


Mheshimiwa Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani(Mb) akimkabidhi mbunge wa jimbo la Busanda Lolensia Bukwimba kifaa cha UMETA ikiwa ni zawadi kwa wazee kumi wasiojiweza katika kijiji cha Nyamwilolelwa

Kwa upande wa Mbunge wa Jimbo la Busanda Mheshimiwa Lolensia Bukwimba amemshukuru waziri  Kalemani kwa kuhakikisha vijiji 60 kati ya vijiji 89 katika awamu ya pili na ya tatu ya REA vitaunganishwa na umeme na pia vijiji 5 vitapata umeme utakaopita kutoka bulyanhulu hadi Mpomvu Geita  kutakapojengwa kituo cha kupooza umeme ambacho kitatoa megawati 98 kwa Mkoa wa Geita.

Waziri Kalemanii amemaliza ziara yake ya kikazi katika wilaya ya Geita na ameelekea wilayani Chato ambako atakua na shughuli za kukagua miradi ya umeme na kuongea na wananchi wilayani humo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa