• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

NIDHAMU YASISITIZWA UCHAGUZI SERIKAI ZA MITAA

Posted on: October 9th, 2024

WASIMAMIZI wa uchaguzi wametakiwa kuzingatia suala la nidamu kazini pindi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakapoanza mwishoni mwa mwezi Novemba.

Akizungumza wakati wa kutoa mafunzo kwa Wasimamizi Wa Uchaguzi vijijini, kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi Ndg. Karia Magaro, Afisa Msimamizi Msaidizi ngazi ya Halmashauri, Bi. Sarah Yohana amewataka wasimamizi hao kuwa makini pamoja na kuwa na nidhamu, hivyo wafanye kazi kwa uweledi.

“Zoezi la uchaguzi huwa linahitaji umakini na hivyo mnapaswa kuwa na nidhamu muda wote wa kazi. Vile vile mnatakiwa kutambua kuwa nyie ni watumishi wa umma kwa kuwa mmeaminiwa, hivyo mnatakiwa kuwa na maadili muwapo kazini lakini pia kuzingatia muongozo wa uchaguzi na kutunza siri.” Amesema Bi. Sarah Yohana.

Wasimamizi wa Uchaguzi wametakiwa kuzingatia uweledi pamoja na nidhamu wawapo kazini.

Bi. Sarah ameongeza kuwa, Wasimamizi wa Uchaguz wanatakiwa kuwapo vituoni ambapo zoezi la Uandikishaji kwenye daftari la Wakazi la Mpiga Kura muda wote wa kazi huku pia haiba ya Utumishi wa umma ikiendana na mavazi.

Kwa upande mwingine, mtendaji wa Kata ya Bugulula, Bw. Juma Choma amewataka wasimamizi kutoa taarifa kwa usahihi sambamba na kuzingatia suala la muda.

“Tujitahidi tutoe taarifa kwa wakati na kwa usahihi huku tukizingatia muda wa kuanza na kumaliza kazi. Usahihi kwenye kuandika majina (Yote matatu) ya wapiga kura itasaidia kupunguza ukakasi wa kuwa na sintofahamu wakati wa zoezi la uchaguzi.” Amesema Bw. Choma.

Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya vijiji wakijaza fomu za viapo Octoba 8,2024 kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Bw. Choma pia amewataka Wasimamizi kuyatambua maeneo yao ya kazi mapema pamoja na kutengeneza mashirikiano na watendaji wa kijiji.

Aidha, Bw. Alphonce Sulwa, Mtendaji wa kata ya Kagu, ameongezea kwa kuwataka wasimamizi hao kufanya kazi kwa kuzingatia utu pamoja na kutokuwabagua mawakala wa uchaguzi kutokana na itikadi zao za vyama.

Uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika nchini Novemba 27, mwaka huu.

Wasimamizi wa Uchaguzi wametakiwa kuzingatia muongozo katika kazi yao ikiwemo kutoka kwa viongozi wa vyama vya siasa kwa kuwa Watiifu, Waaminifu na kutunza siri.

Mambo Muhimu ya Kuzingatia:

  • Wasimamizi kuepuka ushawishi na upendeleo wakati wa uandikishaji.
  • Kutunza siri za watu.
  • Kituo kufunguliwa saa 2 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
  • Octoba 11-20; Zoezi la uandikishaji kwenye daftari la Wakaazi la Mpiga Kura.
  • Octoba 21; Orodha ya majina ya watu walioandikishwa kubandikwa kwenye mbao za matangazo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA December 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DED GEITA DC KARIA MAGARO ATOA WITO KWA MADIWANI KUSIMAMIA MIRADI ILI KUPATA THAMANI YA FEDHA ILIYOTOLEWA

    February 04, 2026
  • TARURA KUTEKELEZA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 5.9 GEITA DC, FURSA ZA UCHUMI KUFUNGUKA.

    February 04, 2026
  • SHILINGI MILIONI 850 FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU GEITA DC

    February 04, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LATOA PONGEZI KWA DED GEITA DC KARIA MAGARO UKUSANYAJI WA MAPATO NA USIMAMIZI WA MIRADI

    February 04, 2026
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa

  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • toto slot
  • slot gacor
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • slot gacor
  • axl777
  • koi200
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • dora77
  • situs toto
  • situs toto
  • dora77
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • yamitoto
  • nabitoto
  • situs toto
  • koi200
  • situs toto
  • axl777
  • situs toto
  • dora77
  • nabitoto
  • nabitoto
  • koi200
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • axl777
  • situs toto
  • slot gacor
  • slot gacor
  • slot gacor
  • >
  • slot gacor
  • situs toto
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto gacor
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777