• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

NIDHAMU YASISITIZWA UCHAGUZI SERIKAI ZA MITAA

Posted on: October 9th, 2024

WASIMAMIZI wa uchaguzi wametakiwa kuzingatia suala la nidamu kazini pindi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakapoanza mwishoni mwa mwezi Novemba.

Akizungumza wakati wa kutoa mafunzo kwa Wasimamizi Wa Uchaguzi vijijini, kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi Ndg. Karia Magaro, Afisa Msimamizi Msaidizi ngazi ya Halmashauri, Bi. Sarah Yohana amewataka wasimamizi hao kuwa makini pamoja na kuwa na nidhamu, hivyo wafanye kazi kwa uweledi.

“Zoezi la uchaguzi huwa linahitaji umakini na hivyo mnapaswa kuwa na nidhamu muda wote wa kazi. Vile vile mnatakiwa kutambua kuwa nyie ni watumishi wa umma kwa kuwa mmeaminiwa, hivyo mnatakiwa kuwa na maadili muwapo kazini lakini pia kuzingatia muongozo wa uchaguzi na kutunza siri.” Amesema Bi. Sarah Yohana.

Wasimamizi wa Uchaguzi wametakiwa kuzingatia uweledi pamoja na nidhamu wawapo kazini.

Bi. Sarah ameongeza kuwa, Wasimamizi wa Uchaguz wanatakiwa kuwapo vituoni ambapo zoezi la Uandikishaji kwenye daftari la Wakazi la Mpiga Kura muda wote wa kazi huku pia haiba ya Utumishi wa umma ikiendana na mavazi.

Kwa upande mwingine, mtendaji wa Kata ya Bugulula, Bw. Juma Choma amewataka wasimamizi kutoa taarifa kwa usahihi sambamba na kuzingatia suala la muda.

“Tujitahidi tutoe taarifa kwa wakati na kwa usahihi huku tukizingatia muda wa kuanza na kumaliza kazi. Usahihi kwenye kuandika majina (Yote matatu) ya wapiga kura itasaidia kupunguza ukakasi wa kuwa na sintofahamu wakati wa zoezi la uchaguzi.” Amesema Bw. Choma.

Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya vijiji wakijaza fomu za viapo Octoba 8,2024 kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Bw. Choma pia amewataka Wasimamizi kuyatambua maeneo yao ya kazi mapema pamoja na kutengeneza mashirikiano na watendaji wa kijiji.

Aidha, Bw. Alphonce Sulwa, Mtendaji wa kata ya Kagu, ameongezea kwa kuwataka wasimamizi hao kufanya kazi kwa kuzingatia utu pamoja na kutokuwabagua mawakala wa uchaguzi kutokana na itikadi zao za vyama.

Uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika nchini Novemba 27, mwaka huu.

Wasimamizi wa Uchaguzi wametakiwa kuzingatia muongozo katika kazi yao ikiwemo kutoka kwa viongozi wa vyama vya siasa kwa kuwa Watiifu, Waaminifu na kutunza siri.

Mambo Muhimu ya Kuzingatia:

  • Wasimamizi kuepuka ushawishi na upendeleo wakati wa uandikishaji.
  • Kutunza siri za watu.
  • Kituo kufunguliwa saa 2 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
  • Octoba 11-20; Zoezi la uandikishaji kwenye daftari la Wakaazi la Mpiga Kura.
  • Octoba 21; Orodha ya majina ya watu walioandikishwa kubandikwa kwenye mbao za matangazo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa