• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

NIA YA SERIKALI NI MIRADI KUKAMILIKA KWA WAKATI WANANCHI WAPATE HUDUMA-MHE KAZUNGU

Posted on: April 18th, 2025

Nzera-Geita

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mhe Charles Kazunguameipongeza Ofisi ya Mkurugenzi na Menejimenti ya Halmashauri kwa usimamizimzuri wa miradi ya maendeleo wakati alipofanya ziara kutembelea na kukaguamiradi mbalimbali ndani ya Halmashauri.

Akizungumza katika Ziara iliyofanywa na Kamati ya Fedha, Uongozina Mipango  kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Aprili 17,2025, MheKazungu ameipongeza Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa namna inavyosimamia miradindani ya Halmashauri na kuwataka wahandisi wa Halmashauri kuendelea na kasikatika ukamilishaji wa Miradi.

" Kamati imeona namna ambavyo mnasimamia miradi, nitoe raikwenu kuendelea na kasi ili miradi ikamilike kwani nia ya Serikali nikukamilisha miradi wananchi wapate huduma" Amesema Mhe Kazungu.

Pamoja na hayo Kamati hiyo imeitaka Halmashauri kuona namna yaKujenga Ofisi za Watendaji za kisasa kwenye kila Kata ili kuendelea kutoahuduma kwa karibu kwa wananchi.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Kata ya Bugulula Bw. Juma Chomaameishukuru Ofisi ya Mkurugenzi kwa kutoa Kiasi cha Shilingi Milioni 70 kwaajili ya ujenzi wa Ofisi ya Mtendaji katika kijiji cha Kasota ambacho hadikukamilika kwake kitagharimu kiasi cha Shilingi Milioni 138.8.

Pamoja na hayo Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango iliwezakutembelea eneo la ekari 217 katika kijiji cha Sungusila ambalo Halmashauriinatarajia kulitwa kwa awamu ambapo kwa sasa katika eneo hilo jumla ya ekari 50zitatumika katika ukamilishaji wa majengo ya shule ya Amali iliyopo kata yaNzera.

Vilevile Kamati hiyo ilitembelea upanuzi wa Zahanati ya Nkome kuwakituo cha Afya mradi unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia Serikali kuu.

Ujenzi wa mradi wa upanuzi wa Zahanati ya Nkome kuwa kituo chaAfya unatekelezwa kupitia mpango wa Taifa wa Kuzuia vifo vya akina mama nawatoto (TIMCHIP) kwa gharama ya Shilingi Milioni 426.6.

Ziara hiyo ni sehemu ya Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango kukaguamara kwa mara miradi ya Maendeleo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita katikakuunga Juhudi za Serikali ya awamu ya Sita inayo ongozwa na Mhe Dkt SamiaSuluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya Maendeleo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • UBORESHAJIWA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 WAFIKIA KIKOMO GEITA.

    May 08, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa