• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Nguvu za Wananchi Zamkosha DC- Magembe

Posted on: February 12th, 2024

Na Hendrick Msangi.

Juhudi za Wananchi wa Mtaa wa Afya Kata ya Ludete iliyoko Halmashauri ya Wilaya ya Geita za kujenga maboma ya Shule ya Msingi zimeonekena baada ya Mkuu wa Wilaya ya Geita ndg Cornel Magembe kufanya Mkutano katika kitongoji hicho na kukabidhi jumla ya mifuko ya Saruji 210, Mabati 264 na Kiasi cha fedha shilingi Milioni moja  na laki tano zilizopatikana kupitia wadau mbalimbali Mkoani Geita katika Kuunga Juhudi za Wananchi hao katika kukamilisha ujenzi huo.

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Geita Komredi Michael Msuya akiongea na Wananchi wa Kata ya Ludete mtaa wa Afya katika Mkutano wa Hadhara ambapo alisema Chama Cha Mapinduzi Kinaendelea kutekeleza Ilani yake ya Kushirikiana na Wadau mbalimbali Kuhakikisha changamoto za Wananchi zinatatuliwa.

Akizungumza Katika Mkutano Mkubwa uliofanyika  katika viwanja vilivyo vilivyopo Kata ya Ludete ambapo Shule hiyo inajengwa, na kuhudhuriwa na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Geita, Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri,  Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, wadau mbalimbali wa Maendeleo,Magembe amepongeza Juhudi za Wananchi hao kujenga shule hiyo yenye jumla ya madara sita na matundu nane ya vyoo.

Mamia ya Wananchi wa Kata ya Ludete wakiwa na furaha mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Geita baada ya matunda ya Juhudi zao za Ukamilishwaji wa Madarasa sita kuungwa Mkono na DC Magembe.

Ujenzi wa Shule hiyo ulifikiwa maamuzi ya kujengwa na wakazi wa Mtaa huo wa Afya kufuatia kutokea kwa matukio ya ajali zinazowakumba watoto wa shule  wanaovuka ng'ambo ya barabara kufuata shule zilizopo maeneo mengine katika kata hiyo.

Katika Mkutano huo, Mkuu huyo wa Wilaya  aliiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Geita kusimamia ukamilishwaji wa shule hiyo kwa hatua zitakazobaki ikiwa ni pamoja na Kuandaa Walimu kwa ajili ya Kufundisha watoto kuanzia ngazi ya elimu ya chekechea punde shule itakapokamilika ndani ya miezi miwili.

Maboma ya Madarasa ambayo yametokana na nguvu za Wananchi , ambapo yanatarajiwa kukamilika baada ya Juhudi zao kuungwa Mkono na Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya ya Geita ndg Cornel Magembe.

Pamoja na hayo Magembe aliwataka Wananchi hao kuendelea kuziunga Juhudi za Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Wananchi Maendeleo.


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa