• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MWALO WA NKOME MCHANGANI WATENGEWA MILIONI 27

Posted on: August 31st, 2021

Kiasi cha shilingi milioni 27 kimetengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kwa ajili ya ukarabati wa mwalo wa Nkome Mchangani,ikiwa ni hatua mojawapo ya kuboresha Sekta ya uvuvi.

Taarifa ya makabidhiano ya ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, iliyowasilishwa na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi.Edith Mpinzile imeeleza kuwa, Halmashauri ya Wilaya ya Geita inakusudia kuboresha mialo yote, ili kuwa na mazingira rafiki kwa biashara.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa Shughuli za ukarabati bado zinaendelea  ambapo hadi sasa ujenzi wa ukuta wa kuzuia maji umefikia asilimia 75%.

Miongoni mwa changamoto zinazoathiri maendeleo ya sekta ya uvuvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita, ni pamoja na ufinyu wa bajeti,upungufu wa maafisa uvuvi, na upungufu wa vitendea kazi  kama vile boti za doria .

Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina eneo la uvuvi katika ziwa Viktoria lenye ukubwa wa Kilometa za mraba 1,050, lenye jumla ya mialo 36, yenye vikundi vya usimamizi wa Rasilimali ya Uvuvi (BMUs) 32,na mabwawa 6 ya kufugia samaki.

Aidha idadi ya wavuvi ni 4,549, ambapo wenye mitumbwi ni 1,516, nyavu za makila 29,482, ndoano za kulaza 160,254, ndoano za kulowa 700 na makokoro ya dagaa 374.

Shughuli hizo za uvuvi zinailetea Halmashauri mapato kupitia leseni za uvuvi, leseni za wavuvi, ushuru wa samaki, pamoja na leseni za kukusanyia na kuuzia samaki.

Mnamo Agosti 20 mwaka huu alipokuwa akizungumza na Wakuu wa Idara na Watendaji wa Kata,Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Paul Wanga, alitoa ushauri wa kufunga mizani katika maeneo yote ya shughuli za uvuvi, ili kupata mapato sahihi kuliko kutumia mbinu ya makadirio.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa