• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA KARIA MAGARO ATOA MAAGIZO UTEKELEZAJI WA MIRADI VISIWA VYA IZUMACHELI NA LULEGEYA

Posted on: July 14th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita ndg Karia Rajabu Magaro July 13 amefanya Ziara ya Kukagua miradi ya Maendeleo katika visiwa vya Izumacheli na Lulegeya vilivyopo ziwa Viktoria.

Akiwa Katika Ziara hiyo, Magaro amewataka wahandisi na mafundi ujenzi wanaotekeleza miradi ya maendeleo katika kata hiyo kushirikiana kwa Kufanya kazi kwa bidii na weledi huku wakizingatia taratibu za ujenzi kama zinavyoelekezwa na Serikali.  

Ukarabati wa miundombinu ya Zahanati ya Izumacheli . Jumla ya kiasi cha Shilingi milioni 102 kimetengwa kukamilisha ukarabati wa choo, kichomea taka, nyumba ya mtumishi na jengo la OPD . Mradi huo unatarajiwa Kuhudumia zaidi ya watu 5000 katika kata ya Izumacheli.

 " Mkawasimamie Wazabuni ili waweze kusambaza vifaa vinavyoendana na Miradi inayojengwa na sio kuchanganya vifaa na kuondoa ubora uliokusudiwa kwenye miradi" amesisitiza Magaro.

Pamoja na hayo Mkurugenzi Mtendaji Magaro amewataka wananchi kuendelea kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa miradi katika maeneo yao kwa kujitoa kwa nguvu zao na kukamilisha asilimia 10 wanayotakiwa kutoa katika miradi ya TASAF.

Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa shule ya Msingi Lulegeya iliyopo kisiwani. Shule hiyo ina jumla ya Wanafunzi 125 na walimu 6. Mkurugenzi Mtendaji ameagiza Wahandisi kufanya makisio ya ukamilishwaji wa Madarasa hayo ili shule hiyo iwe na jumla ya vyumba 5 vya madara yanayotumika.

" Mnaposikia miradi ya maendeleo kupitia mfuko wa Maendeleo ya jamii TASAF mjitoe kwa nguvu zote na haraka  kwa kuonyesha muitikio ili miradi ikamilishwe kwa wakati na kuanza kutumika ili kuendelea kuziunga juhudi za Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye analeta fedha nyingi za miradi ya maendeleo" amesema Magaro.

Aidha Mkurugenzi Magaro amemtaka Diwani wa Kata ya Izumacheli Mhe Cosmas Fidelis pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendelea kuhamasisha wananchi ili waone umuhimu wa kuchangia asilimia 10 ya ujenzi wa miradi ya maendeleo inayotekezwa kupitia mfuko wa kunusuru kaya masikini (TASAF)

Mradi wa Kuchakata Samaki kata ya Izumacheli wenye thamani ya milioni 11 ambazo ni ufadhili kutoka Mgodi wa dhahabu wa Geita (GGML) na Kanisa la AICT Geita. Mkurugenzi amewataka wanakindi hao kujipanga kwa kushirikiana na Idara ya Maendeleo ya jamii ili waweze kufaidia na Mikopo inayotolewa na Serikali ya awamu ya sita kupitia Halmashauri.

Ziara ya Mkurugenzi Mtendaji Ndg Karia Rajabu Magaro ni sehemu ya muendelezo wa ziara zake za kusimamia utekelezaji wa miradi inayotekezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Ukamilishwaji wa Mabweni ya Wanafunzi Shule ya Sekondari Izumacheli  wenye thamani ya Shilingi milioni 200,900,000 kupitia mfuko wa Maendeleo ya jamii (TASAF) ambapo asiliamia 10 ya nguvu za Wananchi ni shilingi Milioni 20. Mabweni hayo kila moja litabeba Wanafunzi 48

Halmashauri ya Wilaya ya Geita inaendelea kumshukuru Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi njema na nzuri anayoifanya ikiwa ni pamoja na kuleta fedha nyingi za miradi.

Jumla ya  kiasi cha Shilingi Bilioni 2,130,560,056 zimepokelewa huku kiasi cha Shilingi Bilioni 1,168,560,058 zikiwa kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya mbili moja ikiwa ni ya Amali (shule ya ufundi)

Fedha nyingine kiasi cha Shilingi milioni 200,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba mbili two in- one za watumishi katika shule mpya zilizojengwa mwaka 2023 za  Nyakaduha na Kagega na kiasi cha Shilingi milioni 762,000,000 kwa ajili ya upanuzi wa miundombinu kidato cha tano na sita katika shule za Sekondari za Lutozo na Kagega.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa