• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANAFUNZI WA BUYAGU SEKONDARI WAFURAHISHWA NA MRADI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA KUPITIA FEDHA ZA UVIKO 19

Posted on: December 3rd, 2021

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Buyagu wamefurahishwa na maendeleo ya Mradi wa vyumba sita vya madarasa unaoendelea katika shule yao.

Wakizungumza na  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Paul Wanga Disemba 3, 2021 shuleni hapo  wamesema kuwa kukamilika kwa Mradi huo kutawasaidia kusoma katika mazingira rafiki na vutivu.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Wanga amewaasa wanafunzi hao kusoma kwa bidii ili kutimiza ndoto zao  kwa kuwa Serikali ya awamu ya tano inawajali na kuwaboreshea mazingira ya kujifunzia.

Wanga ametoa kauli hiyo  alipotembelea shuleni hapo kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa vyumba sita (6) vya madarasa vinavyojengwa katika shule hiyo kupitia fedha za mpango wa uviko  19 zilizotolewa na Mheshimiwa  Rais  Samia Suluhu Hassan.

Wanga amewaambia kuwa Rais Samia ameipatia shule hiyo ya Buyagu kiasi cha shilingi milioni mia moja ishirini (120,000,000) kwa ajili ya ujenzi wa vyumba sita vya madarasa ambayo yatakuwa na kiti na meza  ili kuwarahisishia mazingira ya kujifunzia kwa lengo la kupata Elimu bora.

Ameendelea kusema kuwa jukumu walilonalo wanafunzi hao kwa sasa ni kusoma kwa bidii ili kufikia malengo yao huku akiwataka kuitunza miundombinu hiyo pindi itakapokamilika na kuanza kutumika. 

Aidha Wanga amemshukuru pia Rais Samia kwa kuipatia Halmashauri ya Wilaya ya Geita shilingi bilioni 7 na milioni 940  kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 352 na miradi kadhaa ya Afya inayoendelea kujengwa katika kata mbalimbali huku akifuatilia kila hatua ya maendeleo ya Miradi hiyo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa