• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MH. KOMBA: TUNA WAJIBU WA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI.

Posted on: March 18th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mh. Hashim Abdallah Komba, amewasisitiza watumishi wa umma kuwa mstari wa mbele kwenye kusikiliza kero za wananchi, na kutafuta namna bora ya kutatua changamoto zao ambazo wamekua wakikumbana nazo mara kwa mara kwenye maeneo yao.

Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mh. Hashim Komba akizungumza na wananchi wa Kata ya Chigunga, Tarafa ya Butundwe.

Akizungumza mwishoni mwa juma liliopita katika Kata ya Chigunga wakati akihitimisha Ziara ya Kikazi iliyohusisha Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo sambamba na kutatua kero za wananchi wa Tarafa ya Butundwe Wilayani Geita, Mh. Komba amewataka Watumishi, hususan Watendaji wa Kata na Vijiji, kutotumia mabavu, na badala yake kuwa wanyenyekevu pindi wanapotoa huduma kwa wananchi.

"Ni wajibu wa Kila mtumishi wa umma, kushuka chini, kujinyenyekeza na kuwasikiliza wananchi. Serikali ya awamu ya sita, haitaki utawala wa mabavu na kutozingatia Sheria. Niwasihi watumishi wenzangu tuwasikilize wananchi kwasababu serikali imepata uhalali wake kwa wananchi kwenda kuipigia kura." Amesema Mh. Komba.

Aidha, Mh. Komba pia amewataka Watendaji kuhakikisha wanazingatia suala la uadilifu kwenye matumizi ya fedha za maendeleo huku akiwasihi viongozi kusimamia vyema rasilimali za serikali.

Kwa upande mwingine, Mh. Komba pia ameagiza Idara ya Maendeleo ya Jamii kuhakikisha inatafuta namna bora ya kuwaanzishia miradi watu wenye mahitaji maalum ili iwe rahisi kwao kusimamia na kujiingizia kipato kitakachowainua kiuchumi ambapo serikali pia imerahisisha masharti na vigezo vya vikundi hivyo kupata mikopo.

Habari Picha ya Matukio yaliyojitokeza wakati wa Ufungaji wa Ziara ya Kikazi ya Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mh. Hashim Komba, Tarafa ya Chigunga.




Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YARIDHISHWA NA KASI YA UKAMILISHAJI WA MIRADI

    October 17, 2025
  • GEITA DC KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA BOOST YENYE THAMANI YA BILIONI 3.2

    October 09, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NYANG'WALE ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO YA MADINI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA.

    September 24, 2025
  • WAUGUZI WA AFYA NA MAAFISA LISHE GEITA DC WAASWA KUEPUKA MIGOGORO MAENEO YA KAZI.

    September 22, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa