• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MH. CHARLES KAZUNGU: TUSHIRIKIANE KULETA UFANISI SEKTA YA MADINI.

Posted on: December 17th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya, Geita Mh. Charles Kazungu amehimiza suala la ushirikiano baina ya watendaji wa halmashauri katika ukusanyaji wa mapato ili kuleta ufanisi pamoja na kuziwezesha halmashauri kujiendesha kutokana na shughuli za kiuchumi zinazopatikana ndani ya halmashauri hizo.

Akizungumza hii leo katika kikao cha mafunzo ya ukusanyaji wa mapato yatokanayo na madini ya dhahabu kilichoandaliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita na kuhudhuriwa na Wabunge, Wenyeviti, Wakurugenzi, Madiwani, na Watumishi kutoka Halmashauri za Wilaya ya Nsimbo na Kilwa, Mh. Charles Kazungu amesema kuwa ipo haja ya halmashauri kushirikiana, pamoja na kubadilishana ujuzi wa namna bora ya ukusanyaji wa mapato yatokanayo na madini ili kuleta ufanisi katika sekta hiyo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Mh. Charles Kazungu amesema kuwa, suala la mpango wa wajibu wa Kampuni kubwa za migodin kurejesha kwa jamii (CSR), linatokana na kanuni, na kwamba masoko yote ya Dhahabu Wilayani Geita yanaratibiwa chini ya Tume ya Madini.


"Ipo haja ya sisi kama Halmashauri kushirikiana, pamoja na kubadilishana uzoefu wa mara kwa mara ya namna gani tunaweza kuongeza mapato yetu ya ndani, haswa kwenye sekta ya madini. Kazi ya kukusanya mapato sio rahisi na hivyo tunapaswa kutoa elimu pia kwa wachimbaji pamoja na kuweka mazingira rafiki ya wao kufanya kazi." Amesema Mh. Kazungu.

Mh. Kazungu pia amesema kuwa sheria bado inafanyiwa kazi ili kusudi wachimbaji wadogo waweze kupata leseni ndogo za uchimbaji (PL) huku wao kama Halmashauri wakiwa na jukumu la kutoa wataalamu wakufanya tathmini ya ardhi kwaajil ya shughuli za uchimbaji.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya, Geita, Ndg. Karia Magaro: Timu ya Menejimenti ya Halmashauri (CMT) iliona umuhimu wa kuwa na kikosi kazi (Task Force), ili kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato na hivyo kurahisisha kazi ya ukusanyaji wa mapato.

Aidha, Diwani wa Kata ya Bugulula, Mh. Lupuga Haraka, amesema kuwa ipo haja ya kutungwa kwa sheria ndogo ili kufanikisha zoezi la ukusanyaji wa mapato, ushirikishwaji wa wananchi haswa vijana kwa maeneo ambayo yanazungukwa na migodi, pamoja na uundwaji wa Kamati za Madini kwenye Halmashauri zenye shughul za uchimbaji wa madini.

Afisa Misitu na Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya, Geita Bi. Hellen Eustace amefafanua ya kuwa, Mfanyabiashara anayefanya shughuli za kuuza Magome ya miti (Timber) yanayotumika kama ngazi wakati wa uchimbaji, anapaswa awe amesajiliwa na Wakala wa Huduma ya Misitu Tanzania (TFS) ili kutambua mahali anapofanyia biashara pamoja na leseni ya mahali anapovuna timba.


Kwa upande wake, Afisa Masoko kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Bw. Mohamed Wangeleja amesema kuwa mafunzo hayo yamekuwa na tija kwa kuwa yamewapa mbinu tofaut za ukusanyaji wa mapato, ambazo zitaenda kutumika katika Halmashauri zao na hivyo kuongeza ufanisi kwenye zoezi la ukusanyaji wa mapato.

"Mafunzo yanaelemisha na kile tulichotaraia kuja kujifunza tumekipata. Hivyo tutaenda kukifanyia kazi na kuhakikisha kile ambacho wenzetu wamefanikiwa kukifanya, na sisi tunaenda kukiwekea utaratibu ili kuweza kuongeza mapato kwenye Halmashauri zetu, haswa kwenye sekta ya madini." Amesema Bw. Mohamed.

Maafisa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa wakichangia mada kwenye kikao cha mafunzo ya ukusanyaji wa mapato Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Ukusanyaji wa mapato kwenye shughuli za uchimbaji wa madini hutofautiana kila mwaka kutokana na mlipuko wa dhahabu unavyotokea, na hivyo ukaguzi wa maeneo yanayodhaniwa kuwa na dhahabu hufanyika mara kwa mara ili kubaini maeneo mapya yanayoibuka na kudhibiti utoroshwaji wa mapato.

Bi. Eveline Mtahamba (Mwekahazina wa Halmashauri ya Wilaya, Geita): Tumeanzisha masoko mengi ya ukusanyaji wa ushuru wa huduma (Service Levy) kwa wachimbaji wadogo kutokana na uhitaji kuwa mkubwa, ambapo masoko hayo yapo katika kata za Katoro, Rwamgasa, Nyarugusu, Nyakagwe na Nyaruyeye.


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa