• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MBUNGE MUSUKUMA AKABIDHI VIFAA TIBA HOSPITALI YA NZERA

Posted on: August 27th, 2019

Mbunge wa jimbo la Geita vijijini, ndugu Joseph Musukuma amekabidhi kontena la vifaa tiba mbalimbali kwa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ndugu Ali Kidwaka kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali ya wilaya,Nzera.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika katika hospitali ya Nzera, Musukuma amevitaja baadhi ya vifaa kuwa ni vitanda 20 vya kisasa vinavyotumia umeme , meza 3 za kisasa za operesheni, ultrasound,pamoja na mashine ya kuwapa joto watoto waliozaliwa kabla ya kutimiza siku(incubator).

Amesema katika kuunga mkono juhudi za raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kwenye uboreshaji huduma za afya, Musukuma aliomba vifaa hivyo kwa marafiki zake Nchini Sweeden ambavyo kwa kawaida vingenunuliwa taklibani shilingi bilioni 3.

“Tumepiga magoti tumeomba kwa marafiki zetu, hili ni kontena la 2, ni msaada tumepewa bure tulichogharamia ni nauli ambapo kontena kama hili ni kama milioni 30,lile la kwanza mkurugenzi alitusaidia namshukuru sana”, alisema Musukuma.

Hata hivyo alisema kuna kontena lingine linakuja kutoka Uingereza ambalo ni kwa ajili ya kina mama, lengo likiwa ni kuhakikisha hakuna mgonjwa atakayelala chini hospitalini hapo.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmasahuri ya wilaya Geita Ali Kidwaka amemshukuru ndugu Musukuma kwa kazi kubwa anazozifanya kama vile kuhakikisha majengo yanajengwa, kuleta magari ya kubeba wagonjwa, kontena 2 za vifaa tiba na mengine mengi.

Aidha,, ndugu Kidwaka amesema atahakikisha anatunza vifaa hivyo, pia amewataka wananchi kushirikiana kwenye ulinzi na utunzaji wa vifaa.

Nae mganga mfawidhi wa Hospitali ya Nzera, ndugu Kaitila Mulusuri amesema ujio wa vifaa hivyo, utasaidia sana katika kuboresha huduma kwenye hospitali hiyo kwani kwa siku wanahudumia wagonjwa takribani 70-120, lakini pia uwepo wa mashine inayosaidia watoto wanaozaliwa kabla ya siku kupata joto (incubator)itasaidia watoto hao waweze kukua vizuri.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA BOOST YENYE THAMANI YA BILIONI 3.2

    October 09, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NYANG'WALE ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO YA MADINI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA.

    September 24, 2025
  • WAUGUZI WA AFYA NA MAAFISA LISHE GEITA DC WAASWA KUEPUKA MIGOGORO MAENEO YA KAZI.

    September 22, 2025
  • WANANCHI KATORO WAJITOKEZA KUADJIMISHA SIKU YA USAFISHAJI DUNIANI.

    September 20, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa