• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAONESHO YA KITAIFA YA MADINI KUFANYIKIA GEITA KUANZIA MWAKANI

Posted on: September 22nd, 2021

Serikali imetangaza rasmi kuwa kila mwaka yatafanyika maonesho ya kitaifa ya Madini  Mkoani  Geita, kwa kuwa ndio kitovu cha madini ya Dhahabu hapa nchini huku ikiahidi kuendelea kuboresha zaidi sekta hiyo.

Hayo yamebainishwa na Waziri Mkuu wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa leo septemba 22, wakati akifungua rasmi maonesho ya nne ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini katika viwanja vya bombambili Geita, ambapo ameiagiza Mamlaka ya Maendeleo ya biashara Tanzania (TAN TRADE)kuyafanya Maonesho hayo kuwa ya kudumu.

Mh.Majaliwa ambaye alifungua maonesho ya kwanza kabisa ya madini mwaka 2018 amesema kuwa maonesho ya kitaifa ya madini yatakuwa yakifanyika Mkoani Geita kuanzia mwakani, huku akiagiza kuboreshwa kwa miundombinu ya maonesho hayo ikiwemo mabanda ya kudumu, sambamba na kuanza mapema utaratibu wa kuwaalika wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa ajili ya maonesho hayo.

Aidha Waziri Mkuu amesema pia kuwa Serikali inaendelea kutumia mbinu mbalimbali kuboresha sekta hiyo ya madini ambapo kwa sasa Serikali imeamua kufuta kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwa madini yanayouzwa hapa nchini kutoka nje ili kukuza biashara hiyo.

Awali akitoa salamu kwa wananchi Mbunge wa jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku Msukuma amesema kuwa juhudi kubwa zilifanywa na baraza la madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita katika kupata fedha kutoka kwa wawekezaji GGML ambao walikuwa wakitoa milioni 450 kwa mwaka tofauti na sasa ambapo wanatoa kiasi cha shilingi bilioni 3.4 kwa mwaka.

Maonesho hayo yameanza septemba 16 mwaka huu yakiratibiwa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita, ambapo kilele chake ni septemba 26 na leo yamefunguliwa rasmi na Waziri mkuu wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa,huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ’’SEKTA YA MADINI KWA UKUAJI WA UCHUMI NA MAENDELEO YA WATU”


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa