• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

“Kuelekea Uchumi Wa Viwanda, Tusimwache Mtoto Nyuma”

Posted on: June 18th, 2018

Hii ni Kauli Mbiu ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo kwenye Halmshauri ya Wilaya ya Geita iliadhimishwa kwenye Kata ya Kakubilo Shuleni Kawawa tarehe 16.06.2018 ikihudhuliwa na wakazi, wazazi pamoja na watoto wa eneo hilo.

Wakisoma risala yao kwa mgeni rasmi ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. January Bikuba, watoto walilisitiza kuwa wao kama wawakilishi wa watoto wa Wilaya ya Geita wanaona maadhimisho hayo ni muhimu kwao, kwani huamini kuwa jamii ya Tanzania na viongozi kwa ujumla hutumia maadhimisho hayo katika kutafakari masuala mbalimbali ya watoto na haki zao katika kujenga taifa la leo na lijalo tunapoelekea kwenye uchumi wa viwanda.

Walisema “bado tunayo huzuni kutokana na Ukatili na Unyanyasaji kimwili, na kijinsia pamoja na mimba za utotoni tungali wanafunzi hali inayotupelekea kushindwa kujiamini, kufifisha na kuua ndoto zetu katika maisha, yote haya yanayosababishwa na mazingira hatarishi tunayoishi, baadhi ya wazazi na walezi ambao hushinikiza waoto kuacha shule na kujitika kwenye biashara ndogondogo ili kujipatia fedha za kujikimu” walimaliza. Hivyo ombi lao kwa serikali na wadau mbalimbali wakiwemo wanahabari Kuelekea Uchumi wa Viwanda ni kupaza sauti kwa umma juu ya kujali haki za watoto.

Akiongea na wazazi na walezi wa watoto wa Kata hiyo, Bw. Bikuba aliwashukuru wananchi hao kwa mahudhurio na maandalizi mazuri ya watoto ambapo alijionea burudani mbalimbali za ngoma, kwaya na mashairi kutoka kwa wanafunzi wa shule za msingi Kawawa, Kabayole na Kakubilo bila kusahau mechi ya mpira kati ya shule ya sekondari ya Senga na Kakubilo.

“kutokana na changamoto za upungufu wa miundombinu ya elimu, bado siri ya mafanikio ni wananchi kujitolea kutekeleza shughuli za maendeleo katika sekta mbalimbali mfano elimu na afya kwa kusomba mawe, kokoto, kufyatua na kuchoma tofali n.k ili kumwekea mtoto mazingira mazuri” bw. Bikuba alisema. Aliongeza kwa kusema, Serikali itachukua hatua mbalimbali za kisheria kwa wale watakaobainika kuwapatia mimba watoto wa kike na wazazi wanaowaozesha wanafunzi katika umri mdogo bila kuwasahau walawiti na wabakaji. Lakini pia aliwaasa wazazi waendelee kuwalea watoto katika maadili mema na kuwapa haki zao za msingi.

Mwisho mgeni rasmi alikabidhi zawadi zikiwemo kalamu, madaftali na mipira ya miguu kwa watoto walioshiriki maadhimisho na michezo mbalimbali. Sherehe hizo ziliandaliwa na Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na ofisi Kata ya Kakubilo.




Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa