• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

KUELEKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU WANANCHI WAASWA KUILINDA AMANI YA NCHI

Posted on: December 7th, 2024

KATIBU TAWALA Wilaya ya Geita Bi Lucy Beda, ameongoza mamia ya wananchi wa Geita kufanya usafi wa mazingira katika eneo la kituo cha mabasi Geita, Soko la Kariakoo Geita pamoja na upandaji wa Miti katika Shule ya Sekondari Kalangalala.

Hayo yamefanyika Leo Disemba 7, 2024 katika Halmashauri ya Mji wa Geita katika kuelekea maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Taifa la Tanzania ambapo Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita na Mji,Jeshi la Polisi, Jeshi la Akiba na Taasisi mbalimbali pamoja na wananchi wamejumuika katika zoezi la kufanya usafi pamoja na upandaji wa miti.

Katibu Tawala Wilaya ya Geita Bi. Lucy Beda akizungumza na wananchi katika Soko la Mbagala  kuelekea maadhimisho ya siku ya uhuru 

Akizungumza na wananchi mara baada ya zoezi la usafi na upandaji wa miti, lilioambata na michezo mbalimbali ya mbio za Mita 100, kukimbiza Kuku na kuvuta kamba, Bi Lucy ametoa rai kwa wananchi kuilinda amani ya nchi yao ili kuendelea kuwa na mshikamano.

Watumishi kutoka Halmashauri ya Wilaya na Mji Geita, vyombo vya ulinzi usalama, na wananchi wa Geita, wakifanya usafi wa mazingira.

“Tunafanya shughuli zetu kwa kuwa Taifa letu lina amani hivyo tuendelee kuenzi amani ya nchi yetu, kwani amani ikiondoka hatuwezi kufanya shughuli zozote” amesema Bi Lucy Beda.

Aidha Katibu Tawala huyo ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi na usalama kwa wale wote ambao wana viashiria vya uvunjifu wa amani.

Mkoa wa Geita unatarajia kuadhimisha Siku ya Uhuru Disemba 9,2024 katika ukumbi wa GEDEKO –Geita Mji ambapo Mhe Martine Shigela Mkuu wa Mkoa wa Geita anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi.

Maadhimisho hayo yanabebwa na kauli mbiu isemayo “Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara: “UONGOZI MADHUBUTI NA USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI NI MSINGI WA MAENDELEO YETU.”

Zoezi la upandaji miti katika mazingira ya shule ya sekondari Kalangalala na  Michezo mbalimbali imefanyika ikiwa ni kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa