• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA MKOA WA GEITA ATEMBELEA TIMU ZA HALMASHAURI SHIMISEMITA TANGA

Posted on: August 16th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati, ametembelea timu za Halmashauri kutoka mkoa wa Geita zinazoshiriki mashindano ya Shimisemita 2025 yanayoendelea jijini Tanga.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati (wa pili kushoto), akizungumza na viongozi wa Timu na wanamichezo wanaoshiriki mashindao ya Shimisemita Jijini Tanga.

Akizungumza na wachezaji na viongozi, Gombati amepongeza maandalizi mazuri aliyojionea akisema: “Nimefurahishwa na maandalizi niliyoyakuta, timu zetu zote zipo vizuri na wamenihakikishia wapo tayari kwa ajili ya ushindani.”

Aidha, ametoa shukrani kwa Rais kwa kuendelea kuhamasisha michezo na kujenga mazingira rafiki kwa watumishi kushiriki mashindano hayo.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati, akiwa katika picha ya pamoja na watumishi kutoka Mkoa wa Geita wanaoshiriki mashindano ya michezo jijini Tanga.

Gombati amesisitiza kuwa michezo hii ni nyenzo muhimu ya kujenga ushirikiano, mshikamano na ushindani chanya katika serikali za mitaa, huku akiwataka wachezaji kudumisha nidhamu na kuhakikisha wanapata ushindi.

Vilevile, amepongeza wakurugenzi wa Halmashauri zote za Geita kwa maandalizi waliyoonyesha na kutumia nafasi hiyo kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi mkuu wa serikali za mitaa wa mwaka 2025 kwa amani na mshikamano.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati, akikabidhi zawadi kama ishra ya motisha kwa wanamichezo wanaondelea na mashindano ya Shimisemita Jijini Tanga

Kwa upande wake, Afisa Michezo wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Julius Laizer, alimshukuru Katibu Tawala huyo kwa hamasa aliyoitoa kwa wachezaji na kuwatia moyo kuelekea mashindano hayo.


Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA 2025, YACHAPA NETIBOLI, MPIRA WA WAVU NA SOKA!

    August 16, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA GEITA ATEMBELEA TIMU ZA HALMASHAURI SHIMISEMITA TANGA

    August 16, 2025
  • MORALI JUU: WACHEZAJI WA GEITA DC WAPANIA VIKOMBE VYOTE TANGA

    August 15, 2025
  • RAS-GEITA ATOA WITO WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    August 12, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa