• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

GEITA DC MABINGWA MASHINDANO YA MICHEZO YA WATUMISHI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA (SHIMISEMITA) MWAKA 2024

Posted on: September 5th, 2024

Mashindano ya Michezo ya Watumishi wa Mamlaka za Serikali za mitaa Tanzania ( Shimisemita) mwaka 2024 yaliyoanza  Agosti 24 yamemalizika  Septemba 5,2024 katika Jiji la Mwanza.  

Akifunga mashindano hayo katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Said Mtanda amezipongeza Halmashauri 100 kati ya 184 ambazo zimeshiriki mashindano hayo yaliyokuwa na kila aina ya burudani.

kikosi kutoka Geita Dc baada ya kutangazwa mshindi katika mashindano ya Shimisemita yaliyofanyika jijini Mwanza.


Akikabidhi zawadi kwa washindi katika michezo Mtanda amesema michezo hujenga mahusiano mazuri kwa watumishi na kuzitaka Halmashauri ambazo hazijashiriki mashindano hayo kushiriki ifikapo mwakani. "Michezo ni sehemu kubwa ya maisha yetu kwani huwaweka watumishi pamoja na kujenga mahusiano mazuri" amesema Mhe Mtanda.

Aidha Mhe Mtanda amewapongeza wakurugenzi kwa namna ambavyo wameshiriki katika michezo na Kufanya idadi kufika Halmashauri 100 kulinganisha na mwaka 2023 ambapo zilishiriki Halmashauri 45

"Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inadhamira ya kuinua sekta ya michezo,Sanaa na utamaduni hivyo  wakurugenzi endeleeni kuziunga juhudi za mama kwa kuanzisha goli la Mkurugenzi katika Halmashauri zenu". Amesema Mhe Mtanda

kikosi cha mpira wa miguu kikiwa katika mashindano ya Shimisemita.


Pamoja na hayo amelaani baadhi ya Halmashauri kuweka mamluki katika mashindano hayo na kuzitaka kuweka watumishi pindi mashindano hayo yatakapo fanyika tena.

Mashindano hayo yaliyokuwa yamebeba kauli mbiu ya kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa maendeleo ya Taifa endelevu yamemalizika   ambapo timu ya mpira wa miguu ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita imeibuka mshindi kwa kuichapa timu ya Halmashauri ya Mji Ifakara magoli mawili kwa moja mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa.

Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika katika jiji la Tanga mwaka 2025.


Halmashauri ya Wilaya ya Geita inayo ongozwa na Mkurugenzi Mtendaji ndg Karia Rajab Magaro inawapongeza watumishi wote waliopeperusha bendera ya Halmashauri na kuweza kupata ushindi.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa