• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

GEITA DC KUENDELEA KUTWAA MAENEO YA UWEKEZAJI KATIKA KUKUZA MAPATO YAKE

Posted on: July 24th, 2025

Katoro-Geita

Ukusanyaji wa mapato ni moja ya agenda ya kudumu katika Vikao vya Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Mwaka wa fedha 2024/25 Halmashauri ya Wilaya ya Geita ilivuka lengo la ukusanyaji wa mapato kwa asilimia 125.19 ambapo Jumla ya Kiasi cha Shilingi Bilioni 10.4 zilikusanywa sawa na ongezeko la Kiasi cha Shilingi Bilioni 2.1 kutoka kwenye Bajeti yake ya shilingi Bilioni 8.3 iliyokasimiwa.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Karia Rajab Magaro amekuwa akiwasisitiza Watendaji wote ndani ya Halmashauri kuendelea kuwa waadilifu katika ukusanyaji wa mapato huku akiwataka kuwa wabunifu kusimamia na kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato ndani ya Halmashauri.

Kutokana na Usimamizi mzuri wa Mapato ya Ndani, Miradi mbalimbali imetekelezwa kwa mwaka wa fedha 2024/25 kupitia mapato ya ndani ambapo jumla ya kaisi cha Shilingi Bilioni 3.1 kilitengwa kutekeleza miradi zikiwepo Shule, Zahanati, Vituo vya Afya , Nyumba za Watumishi na Ofisi za Kata.

Aidha kupitia mapato ya ndani na fedha za Marejesho, Halmashauri imeweza kutoa Mikopo ya Asilimia 10 kwa Makundi ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ambapo kaisi cha Shilingi Bilioni 1.8 kimetolewa kwa wananchi waliokidhi sifa za kupokea mikopo hiyo.

Ili kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kuhakikisha miradi mbalimbali zikiwepo shule, Zahanati,  Vituo vya Afya, Miundombinu ya Barabara,  Halmashauri imeendelea na mipango ya kutwa maeneo mengi ya uwekezaji ili kuendelea kuinua mapato yake.

Julai 24, 2025 Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Wilaya ya Geita ikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi CPA Eveline Ntahamba imefanya ziara katika Mamlaka ya Mji mdogo wa Katoro ili kukagua maeneo ya Uwekezaji.

Timu hiyo imetembelea Eneo lenye ukubwa wa ekari 14 ambapo Halmashauri inatarajia kulitwaa kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha magari (Katoro bus stand) Pamoja na Eneo la Soko la Kariakoo Katoro ili kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika kuinua mapato ya Halmashauri.

Halmashauri ya Wilaya ya Geita inaendelea kuishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Uongozi wa Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo inaleta fedha nyingi kwa ajili ya shughuli za maendeleo.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC KUENDELEA KUTWAA MAENEO YA UWEKEZAJI KATIKA KUKUZA MAPATO YAKE

    July 24, 2025
  • WATENDAJI WASIMAMIWE KUHAKIKISHA AFUA ZA LISHE ZINATEKELEZWA - MHE. KOMBA

    July 12, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO.

    July 12, 2025
  • VIKUNDI 111 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI HALMASHAURI YA WILAYA, GEITA

    July 11, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa