• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

FURSA KUBWA KWA WACHIMBAJI NA WAFANYABIASHARA

Posted on: October 10th, 2024

Maonesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya EPZ Geita mjini yamekuwa fursa muhimu kwa wachimbaji wadogo, wafanyabiashara, wakulima, na wadau wengine wa sekta mbalimbali kupata elimu na kuonyesha bidhaa zao. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita amewakaribisha wananchi na wadau kutembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Geita, ambapo wanapata mafunzo na bidhaa za kipekee.

Mafunzo yanayotolewa katika banda hilo yanalenga kuwaelimisha wachimbaji wadogo kuhusu teknolojia mpya ya kuchenjua madini kutoka kwenye mchanga wenye chembechembe za madini. Hii inalenga kuwasaidia wachimbaji kuongeza tija na ufanisi katika kazi zao za uchimbaji

mashine ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu yenye uwezo wa kutenganisha mchanga na madini 

Vilevile, maonesho hayo yanatoa fursa kwa wafanyabiashara kuonyesha bidhaa mbalimbali kama dagaa kutoka Ziwa Victoria, mafuta ya kupikia, sabuni za maliwato, mbegu za mahindi, na mvinyo bora kutoka Igate. Pia, mafunzo ya kilimo cha miti ya mbao, matunda, na ufugaji wa bata mzinga yanatolewa kwa lengo la kuwawezesha wakulima kuboresha uzalishaji na kuongeza kipato.

Dagaa kutoka ziwa Viktoria maarufu kama dagaa wa Mwanza


Kilimo cha mihogo

Ufugaji wa bata mzinga

Mvinyo unaotengenezwa na kikundi cha kina mama kutoka Igate.

Mafuta safi ya kupikia

Sabuni yenye maliwato mazuri

Mbegu bora za Mahindi

Afisa Maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Bi. Mathalena Mgina, ameeleza kuwa mafunzo na bidhaa zinazotolewa katika banda hilo ni za asili, na wananchi wengi wamejitokeza kwa wingi kujifunza na kupata elimu hiyo.

Maonesho hayo yalianza Oktoba 1 na yanatarajiwa kumalizika Oktoba 12, 2024, huku yakiwa na kauli mbiu inayosisitiza "Matumizi ya Teknolojia na Nishati Safi Katika Sekta ya Madini kwa Maendeleo Endelevu."

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa