• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC SHIMO ALITAKA BARAZA LA MADIWANI GEITA DC KUFANYA KAZI KWA UMOJA NA USHIRIKIANO

Posted on: February 3rd, 2022

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya geita limeshauriwa kuwa na umoja na ushirikiano katika kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo, na kukosoana kwa kusaidiana katika  vikao na mabaraza halali pale panapotokea tofauti za kiutendaji.

Wito huo umetolewa Februari 3, 2022 na mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe.Wilson Shimo wakati akizungumza na wajumbe wa mkutano wa kawaida wa baraza la madiwani wa robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2021/2022 katika siku ya pili ya kikao katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Nzera.

Mhe. Shimo amesema kuwa siri ya mafanikio katika utendaji ni umoja na ushirikiano huku akiwataka wajumbe wa mkutano huo kushauriana na kusaidiana panapotokea tofauti mbalimbali kwa kuwa wote kwa pamoja wanaijenga Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa kuwatumikia wananchi.

Aidha amewashauri wajumbe hao wanapoona tofauti zozote ni bora kuitana katika vikao na kujadiliana ili kufikia maakubaliano yenye tija suala linaloweza kusaidia kupata maendeleo huku akiwataka kuwa na maamuzi ya pamoja katika maswala ya kimaendeleo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Geita Barnabas Mapande amezitaka Taasisi mbalimbali za kiserikali zinazohusika katika maendeleo kushiriki kikamilifu katika vikao vya kamati za kudumu ili kuongeza uelewa na kutoa nafasi ya kujadiliwa kwa taarifa za kamati hizo kwa upana.

Aidha ametumia nafasi hiyo kumshukuru Rais Samia kwa namna alivyoiwezesha Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa fedha za miradi mbalimbali iliyo nje ya bajeti huku akiipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa namna ilivyofanikiwa kusimamia ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mhe.Charles Kazungu amepongeza hatua ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Geita kuzitaka Taasisi mbalimbali kushiriki vikao vya kamati za kudumu za Halmashauri akiamini njia hiyo itasaidia kuongeza uelewa kwa pande zote sambamba na kupunguza muda wa majadiliano katika vikao vya mabaraza.  

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa