• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC KOMBA KUMWAGA OILI CHAFU KUUA MCHWA WANAOITAFUNA MIRADI YA MAENDELEO GEITA-DC

Posted on: May 17th, 2024

Na: Hendrick Msangi

OPERESHENI ya Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kusikiliza Kero za Wananchi Halmashauri ya Wilaya ya Geita imeendelea May 17, 2024 kwa kata ya Bujula katika Vijiji vinne vya kata hiyo ambavyo ni Mduhani, Ngula, Bujula na Nyamiboga.


Ambapo amekagua Miradi ya Maendeleo ya ujenzi wa zahanati ya Bujula na madarasa 2 shule ya Msingi Ngula, ujenzi wa madarasa manne Mduhani, ujenzi wa nyumba ya mtumishi nyamiboga na mradi wa zahanati na nyumba ya mtumishi.


Katika Ziara hiyo, Mhe Komba ameonyesha kutokutupendezwa na ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya Msingi Nyamiboga yenye thamani ya Shilingi milioni 21 ambazo hazina thamani ya ujenzi wa nyumba hiyo na  kuunda Kamati ndogo ya uchunguzi kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupanda na rushwa (TAKUKURU) wilayani Geita kuchunguza Mradi wa Ujenzi wa nyumba hiyo ya Mwalimu iliyojengwa kwa kiasi cha shilingi Milioni 21 baada ya kubaini fedha zilizotumika kutokwendana na thamani ya Mradi huo.


" Tumeliangalia jengo pamoja na Wahandisi thamani yake ni shilingi Milioni 9.2 lakini tuna ambiwa limetumia milioni 21 (CSR). Mchwa wa namna hii wanaotafuna fedha za miradi wanahitaji oili. Tunataka hela za umma zifanye kazi iliyokusudiwa."amesema DC Komba

Nyumba ya Mwalimu shule ya Msingi nyamiboga yenye thamani ya shilingi milioni 21.

Aidha amekemeaa na kutoa onyo kali tabia ya wananchi kuwapa watoto wa kike  mimba na kukatishwa ndoto zao na wazazi kuficha taarifa ili kesi zisiende mahakamani kwa makubaliano ya kupeana Mahari


" Walindeni watoto wa Kike, na atakayebainika kukatisha ndoto za Wanafunzi wa kike hatua kali zitachukuliwa. Wazazi tuwalinde watoto kwani urithi pekee ni elimu" amesema DC Komba.

Baadhi ya Wananchi wa kata ya Bujula wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba kwenye Mkutano wa hadhara.

Akihitimisha Ziara hiyo kwa kata ya Bujula, Mhe Komba amewataka Wananchi kuendelea kuwa na imani na Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kumuunga mkono juhudi zake za kuwaletea Maendeleo.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba alievaa shati nyeupe aliyeshikilia kalamu akiongozana na Diwani wa kata ya Bujula wa kwanza kulia Bi Amina Swedy aliye weka mtandio begani wakielekea kwenye eneo la mradi.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Bujula Mhe Amina Swed amemshukuru Mhe Mkuu wa Wilaya kwa Ziara hiyo na kumuomba kuendelea kuchochea kasi ya Maendeleo ili zahanati zikamilike kuhudumia Wananchi wa kata hiyo ambao wanaenda kutibiwa kata ya Bukoli kutokana na Kata hiyo kukosa Zahanati iliyo kamilika.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba akiwa amekaa kwenye msingi katika Moja ya mradi katika kata ya Bujula.

Pichani wa katikati aliyeshikilia kalamu na WA kwanza kulia aliye kaa ni Diwani wa kata ya Bujula Amina swedi.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. June 05, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA URATIBU WA MWENGE WA UHURU MKOA YATEMBELEA YATEMBELEA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA, GEITA.

    June 24, 2025
  • ZAIDI YA BILIONI 50 ZATUMIKA KUKAMILISHA MIRADI GEITA 2020-2025.

    June 21, 2025
  • RAISI DKT. SAMIA AZINDUA DARAJA LA KIGOGO-BUSISI.

    June 19, 2025
  • WATUMISHI WILAYANI GEITA WAKUMBUSHWA SUALA LA KUJIFANYIA TATHMINI.

    June 18, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa