• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC KOMBA AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA MPOX

Posted on: March 11th, 2025

Butundwe-Geita

MKUU wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Abdallah Komba amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa MPOX baada ya Waziri wa Afya Mhe Jenista Mhagama (MB) kutangaza kuwepo  kwa wagonjwa wawili wa ugonjwa huo.

Tahadhari hiyo imetolewa leo Machi 11,2025 wakati wa Ziara ya Ukaguzi  wa Miradi ya Maendeleo na Kusikiliza Kero za Wananchi Katika Tarafa ya Butundwe Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba akizungumza na wananchi katika Mkutano wa Hadhara Tarafa ya Butundwe

Pamoja na kutoa Tahadhari hiyo  Mhe Komba amesikiliza na kutatua kero mbalimbali  ziliwepo migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji, uwepo wa wanyamapori hatarishi ,  mmomonyoko wa maadili katika jamii.
Vilevile katika Ziara hiyo Mhe Komba ametembelea na kukagua hatua za  ujenzi wa miradi ya elimu na afya ambapo ametoa maelekezo kwa Uongozi wa Halmashauri  kukamilisha miradi hiyo ili iwanufaishe wananchi.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Dkt Modest Buchard akizungumza na Wananchi katika Ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba iliyofanyika Tarafa ya Butundwe

Katika Ziara hiyo Mhe Mkuu wa Wilaya aliambatana na Katibu Tawala Wilaya ya Geita Bi Lucy Beda,  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Dkt Modest Burchad pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Abdallah Komba amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa MPOX baada ya Waziri wa Afya Mhe Jenista Mhagama (MB) kutangaza kuwepo  kwa wagonjwa wawili wa ugonjwa huo.

Tahadhari hiyo imetolewa leo Machi 11,2025 wakati wa Ziara ya Ukaguzi  wa Miradi ya Maendeleo na Kusikiliza Kero za Wananchi Katika Tarafa ya Butundwe Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Pamoja na kutoa Tahadhari hiyo  Mhe Komba amesikiliza na kutatua kero mbalimbali  ziliwepo migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji, uwepo wa wanyamapori hatarishi ,  mmomonyoko wa maadili katika jamii.

Vilevile katika Ziara hiyo Mhe Komba ametembelea na kukagua hatua za  ujenzi wa miradi ya elimu na afya ambapo ametoa maelekezo kwa Uongozi wa Halmashauri  kukamilisha miradi hiyo ili iwanufaishe wananchi.

Katika Ziara hiyo Mhe Mkuu wa Wilaya aliambatana na Katibu Tawala Wilaya ya Geita Bi Lucy Beda,  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Dkt Modest Burchad pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita.




Matukio mbalimbali katika  Picha wakati wa Ziara ya Mhe Mkuu wa Wilaya ya Geita Hashim Komba alipofanya Ziara ya kukagua miradi ya Maendeleo na Kusikiliza Kero za Wananchi Tarafa ya Butundwe Halmashauri ya Wilaya ya Geita

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa