• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

BENKI YA CRDB TAWI LA GEITA YATOA MILIONI 50 UJENZI WA MADARASA MAWILI GEITA DC

Posted on: March 7th, 2025

NZERA-GEITA

BENKI ya CRDB Tawi la Geita imetoa Kiasi cha Shilingi Milioni 50 kwa ajili ya ujenzi  wa madarasa  Wawili katika Shule ya Msingi Fulwe iliyopo Kata ya Nzera .

Hayo yamejiri leo Machi 7,2025 ambao Wataalam kutoka Benki ya CRDB Tawi la Geita walipoitembelea Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji na kukaribishwa katika Kikao cha Kawaida cha Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango.

Akizungumza katika Kikao cha kawaida cha Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri-Nzara Machi 07.2025, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mhe Charles Kazungu ameishukuru Benki hiyo kwa kuongeza huduma za kibenki katika Halmashauri.

"Tunashukuru Benki ya CRDB Tawi la Geita kwa kusogeza huduma ndani ya Halmashauri  lakini pia Tuwaombe muweze kuona namna ya kuanza kuyatumia majengo ya Kibenki ambayo yamengwa  na Halmashauri ili yaanze kutumika." Amesema Mhe Kazungu.

Kwa upande wake Meneja wa tawi  wa Benki hiyo ndugu Erick Mgala amesema Benki hiyo imetoa kiasi cha Shilingi Milioni 50 kama sehemu ya kurejesha huduma kwa jamii.

Aidha Mgala amesema Halmashauri ya Wilaya ya Geita imekuwa ikishirikiana na Benki ya CRDB katika mambo mengi na kuahidi kuendeleza ushirikiano.

Vilevile Meneja huyo  amesema kufuatia kilio cha wananchi wa kata ya Nzera kukosa kwa karibu huduma  za Kibenki , CRDB imesikia kilio Chao na imepanga kuleta gari ambalo ni benki inayotembea kwa ajili ya kutoa huduma za kibenki katika maeneo mbalimbali ndani ya Halmashauri.

Naye Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Fulwe Mwl Mathias Bulabo ameishukuru Benki ya CRDB kwa kuona umuhimu wa kuongeza madarasa Katika shule hiyo.

Shule ya Msingi Fulwe ilianzishwa Januari 1956 na kwa mwaka wa masomo 2025 ina jumla ya Wanafunzi 598 Wavulana wakiwa 276 na Wasichana wakiwa  322 na Jumla ya Vyumba vya madarasa 14 huku ikiwa na Jumla ya Walimu 13.

Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina wakaribisha wadau mbalimbali wa maendeleo na itaendelea kushirikiana na wadau wote katika kuendelea kutekeleza shughuli za maendeleo ndani ya Halmashauri yenye Jumla ya Kata 37.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa