• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LATOA PONGEZI KWA DED GEITA DC KARIA MAGARO UKUSANYAJI WA MAPATO NA USIMAMIZI WA MIRADI

Posted on: February 4th, 2026

Nzera-Geita

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Februari 4,2026 limekutana katika Mkutano wake wa Kawaida wa robo ya pili ambapo taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ngazi ya Halmashauri kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2025 zimewasilishwa na kujadiliwa.

Jumla ya Kamati 5 za kudumu za Halmashauri zimewasilisha taarifa zake ambapo Waheshimiwa Madiwani wamezipokea na kuzijadili.

Kamati zilizowasilisha taarifa ni pamoja na kamati ya Fedha Uongozi na Mipango, Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira, Kamati ya Elimu Afya na Maji, Kamati ya Kudhibiti UKIMWI na Kamati ya Maadili.

Akizungumza katika baraza hilo Mwenyekiti wa Mkutano huo ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Silvester Kahesi amewapongeza madiwani na wataalam kwa namna ambavyo wamekuwa wakishirikiana katika vikao vya kamati hadi kufikia baraza.

" Ushirikiano hautakuja kama kuna upande utakuwa umejitenga, nitoe wito kwa madiwani na wataalam kuwa kitu kimoja ili kuleta ufanisi na kuijenga halmashauri kwa kuwa Sisi ni taswira ya Halmashauri hivyo kile tunachokifanya kika akisi matamanio ya wananchi” Amesema Mhe Kahesi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg Karia Magaro Magaro amewasihi Waheshimiwa Madiwani kusimamia Sheria, kanuni na taratibu za uendeshaji wa Halmashauri ili maamuzi yatakayokuwa yanachukuliwa yafanyike kwa hekima na busara ili kuendelea kulinda utulivu wa Halmashauri.

"Nitoe wito kwa Waheshimiwa Madiwani Kila mmoja kwenye kata yake anayoisimamia aijue miradi inayotekelezwa na kushirikiana na wataalam ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati kuweza kuwahudumia wananchi” Amesema Magaro

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Geita Komredi Barnabas Mapande ametoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji kwa  kusimamia fedha ambazo Mhe Dkt  Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazileta katika Halmashauri kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

“Tunaendelea Kumpongeza Mkurugenzi kwa kuzisimamia fedha zinazoletwa na Mhe Rais na ukusanyaji wa  mapato. Tuendelee kuweka nguvu kulisukuma gurudumu kwa kuweka nguvu kwenye makusanyo ya mapato kwa kuendelea kushirikiana na Mkurugenzi na watendaji ili miradi ikamilike” Amesema Mapande.

Vilevile Komredi Mapande amesema Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina maeneo mengi ya uchimbaji wa madini hivyo hakuna budi kuweka nguvu ya kukusanya mapato. “Kama Chama tutaendelea kuwa na ushirikiano kwa kuwa  bega kwa bega na serikali ili kuleta tabasamu kwa wananchi" Ameongeza Komredi Mapande

Kwa upande wake Mhe Diwani kata ya Bukoli Mhe Faraj Seif kwa niaba ya Madiwani ametoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji kwa usimamizi mzuri wa Halmashauri katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo ndani ya Halmashauri ikiwepo na ukusanyaji wa mapato

"Sisi Madiwani tuna waahidi tutakuwa na utulivu katika Halmashauri yetu kuisaidia Serikali " Amesema Mhe Faraj Seif

Kwa upande mwingine Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg Munguatosha Macha ametoa rai kwa waheshimiwa madiwani kuendelea kutoa ushirikiano kwa halmashauri katika kusimamia na kukusanya mapato ili kuendelea kuongeza ajira kupitia mapato ya asilimia 10 yanayotolewa na Halmashauri.

Tangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA December 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DED GEITA DC KARIA MAGARO ATOA WITO KWA MADIWANI KUSIMAMIA MIRADI ILI KUPATA THAMANI YA FEDHA ILIYOTOLEWA

    February 04, 2026
  • TARURA KUTEKELEZA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 5.9 GEITA DC, FURSA ZA UCHUMI KUFUNGUKA.

    February 04, 2026
  • SHILINGI MILIONI 850 FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU GEITA DC

    February 04, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LATOA PONGEZI KWA DED GEITA DC KARIA MAGARO UKUSANYAJI WA MAPATO NA USIMAMIZI WA MIRADI

    February 04, 2026
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa

  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • toto slot
  • slot gacor
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • slot gacor
  • axl777
  • koi200
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • dora77
  • situs toto
  • situs toto
  • dora77
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • yamitoto
  • nabitoto
  • situs toto
  • koi200
  • situs toto
  • axl777
  • situs toto
  • dora77
  • nabitoto
  • nabitoto
  • koi200
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • axl777
  • situs toto
  • slot gacor
  • slot gacor
  • slot gacor
  • >
  • slot gacor
  • situs toto
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto gacor
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777