• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Vivutio vya kitalii

Chigunga
Kijiji cha Nungwe
Mabaki ya Bandari ya kwanza ukanda wa Ziwa Victoria iliyojulikana (Nungwe bay) 1896

Bugalama
Kijiji cha Mkolani I.
Mti wa Mkora na Mnara wa wapigania Uhuru

Busanda
Kijiji cha Busanda, karibu na S/Sekondari Busanda.
Kaburi la Mtemi wa Buyombe Mtemi Magunga Chambalangu Kadama

Bukoli
Kijiji cha Ikina, karibu na S/Msingi Ikina.
Kaburi la Mtemi wa Bukoli, Mtemi Nganila Nonga.

Bujula
Kijiji cha Ngula
Kisima cha Asili kilitokana na kuzama kwa Tembo, kinatumika kwa Mitambiko, huruhusiwi kwenda na safuria ya masizi, kufua nguo wala kuvaa viatu.


Mtakuja
Kijiji cha Nyamalembo na Nyakabale
Machimbo ya dhahabu ni Mgodi wa pili kwa ukubwa Afrika katika uzalishaji wa dhahabu. Ulianza mwaka 1936 kabla ya kufungwa na Rais Julius Kambarage Nyerere mnamo mwaka 1965.

Lwamgasa
Kijiji cha Mnekezi
Magofu ya Mgodi wa dhahabu wa Backreef.

Bukondo
Kijiji cha Kasang'hwa
Jiwe lililokuwa likitumika kuweka wasichana waliokuwa wakipata mimba kabla ya ndoa na Wazinza liko ndani ya Ziwa Victoria (Chabhobha).

Nkome
Kisiwa cha Rubondo
Ni Kisiwa pekee katika Ziwa Victoria ambacho ni Hifadhi ya Taifa ya Wanyama, Mazalia ya Samaki na Ndege.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA August 13, 2019
  • Fomu za kujiunga Kidato cha Kwanza kwa Shule za Sekondari Ndani ya Halmashauri ya Wilaya Geita, 2021 December 29, 2020
  • AJIRA ZA MUDA September 21, 2020
  • AJIRA ZA MUDA September 21, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UJENZI WA SEKONDARI GHOROFA

    April 13, 2021
  • Kituo kipya cha afya Kasota

    November 27, 2020
  • Mnada wa Kisasa wa Mifugo mji mdogo wa katoro

    October 19, 2020
  • Huduma za Afya

    August 18, 2020
  • Tazama zote

video

Fursa za Uwekezaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa